Aug 21, 2008

Lenin na Marx

Huwa ninalia ninapowakumbuka wapigania haki za wanyonge kama Lenin, Fredrick Angle, Dk.Carl Marx, Josef Stalen na wengine wegi huwa ninawakumbuka sana japo sitakufahamisha ni kitu gani walikifanya katika kupigania haki za binadamu kutoka kwa Mabepari ninajua bila shaka unawajua umuhimu wao katika jamii.

Lenin aliweza kupambana na mabrpari wa Urusi kwa mantiki ya kuondoa unyonyaji katika harakati zake aliwahi kuwekwa zizuizini, kufukuzwa chuo alikokuwa anasomea shahada ya sheria na kudhalilisha sana, naye Dk.Carl Marx alikuwa kama Lenin mpaka aliwahi kuandika kitabu cha kilichokuwa kinapinga unyonyaji wa Mabepari. Daima huwa ninafarijika sana ninapokumbua watu hawa muhimu katika historia ya haki za binadamu na huwa ninapata nguvu na msukumu wa kwamba kumbe hata sisi tunaweza kukomesha unyonyaji.

No comments: