Oct 9, 2008

Fikra za Mwalimu

Mwalimu alikuwa anaipenda hata Familia kama alivyokuwa anawapenda Watanzania angalia katika picha hii hapa akiwa katikati na kushoto ni mama yake kulia mke wake Marry Nyerere. Picha hii lilipigwa Novemba10, 1985 baada ya Mwalimu kuamua kung`atuka madarakani.