Sep 13, 2008

Toa Maoni yako





Anaitwa Markus Mpangala mwanafunzi chuo kikuu cha Dar rafiki yangu mkubwa sana na sijapata rafiki mwenye mawazo na fikra za maendeleo kama yeye hakika amenishauri mambo mengi sana katika maisha yangu na wmengi aliyonishauri leo hii yameniletea maendeleo katika maisha yangu.
Kwa sasa hivi mimi na yeye wote ni wandishi wa habari katika magazeti mbalimbali hapa nchini vilevile wote ni Wanablogu tunaohakikisha kila mtu dunia nzima anapata habari kupitia blogu zetu

Toa Maoni yako




Huyu ni rafiki yangu Habiba anakaa Dar ni rafiki yangu wa karibu sana kwani huwa ananishauri pale ninapokwanma kimawazo na kifikra hakika sitamusahau na wewe kama unamatatizo niombe contact zake ili upate ushauri daima huwa hatozi kitu chochote ni mjamaa wa kweli nas na fikra za kiujamaa. Basi ndugu toa maoni kuhusiana na ulivyomuona na maelezo yangu

Toa Maoni yako.


Huyu ni mwanaglogu mwenzangu je, unamonaje? toa maoni yako kuhusiana na unavyomuona hapo kwenye picha ila mimi huwa ninajifunza mambo mengi kutoka kwake. Muangalie hivyo tuni mwanadada nzuri kwanza anavutia na anaakili nyingi sana na ni mtu wa malengo na maisha yake.