Aug 12, 2008

Uhuru na haki

Uhuru na haki ni vitu ambavyo zinaendana sisi binadamu yatupasa kuzingatia mambo kama haya, uhuru ni njia pekee inayoleta ukombozi, binadamu anajikomboa pale anapojua kuwa hayuko huru, hapo ndio hupigania haki yake ya kuwa huru,kwahiyo binadamu wote dunia nzima yatupasa kutambua kama tuko huru kifira, kiuchumi, kisiasa, kisaikolojia, nk pale unapotambua kuwa hauko huru basi yakupasa kusimama na kupigania uhuru wako jua kwamba unapo kuwa huru na haki inakuwepo