Sep 15, 2008

Toa Maoni

Huyu ni rafiki yangu anaitwa Gloria anakaa Marekani ni mojawapo wa marafiki zangu niwapendao sana katika maisha yangu ila huyu ninampenda zaidi kwa sababu ana huruma kwa kila mtu, na sasa hivi ananitafutia visa ya kwenda Marekani kufanya kazi huko kulingana na kuniambia kwa muda mrefu nimeamua kumkubalia ombi lake kwenda kwa hiyo hivi karibuni akikamilisha kuwasilianasa na ubalozi wetu atanitumia hiyo visa ili niruke, ila sitaisahau Tanzania na mafisasadi wake nitahakikisha nikisitafu kazi yangu huku nije Tanzania kupambana na mafisadi ili kurudisha heshima ya wanyonge haya: BlockquoteMungu nibariki mimi mubariki rafiki yangu Gloria na mwisho Mungu ibariki Tanzania.