Aug 19, 2008

Machozi yetu yasamani

Ni nani asiyelia anapo pigwa na kuumizwa? kwanini tusilie munapotupiga kwa kutudhurumu mali zetu. Yote haya ni maisha ya nini tuchekane? Tunahuzunika sana Tunapoona wenzetu mnatucheka hata pale tunapowaona wanyonyaji munatucheka huwa tunapata hasira kubwa sana kwani nyinyi nii wadhulumaji wetu, kwanini munatucheka tena? Sasa ninasema kuchekwa nimechoka ninahitaji kujikomboa.