Oct 10, 2008

Zidumu Fikra za Baba wa Taifa.

Rais msitaafu wa awamu ya pili Tanzania wa pili kutoka kushoto akishuhudia mchezo wa bao kati ya Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere wa pili kutoka kulia na mzee mmoja wa Butiama, na wa kwanza kutoka kulia ni mke wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere na kaka yake Nyerere Chief Burito ni wa tatu kutoka kulia. Sasa ndugu zangu Kikwete anaweza kufanya hivyo? au Tanzania ya sasa ni tofauti ya zamani? lakini tukumbuke za kale dhahabu ipo siku tutazijutia: bonyeza kwenye sehemu ya toa maoni utoe maoni yako.

No comments: