Oct 10, 2008

Habari ni kioo cha jamii

Huyu ni Oscar Kambona Mtangazaji wa aliyerusha matangazo kwa mara ya kwanza idhaa ya kiswahili BBC mnamo juni27 1951 hakika alifanya kazi ya habari kwa nguvu zote, alifariki huko nchini Uingereza akiwa na umri wa miaka 68. Haki ya habari daima idumu

No comments: