Huyu hapa ni Mtangazaji mwanamke wa kwanza wa idhaa ya kiswahili BBC anaitwa Zayana Self, hapo akiwa na Watangazaji wengine wa idhaa hiyo, Mwanamke huyu alikuwa mojawapo wa watangazaji wanavuti katika idhaa hiyo.
JAMANI NIMERUDI TENA NILIKUWA MASOMONI
-
IMERUDI tena kwenye kibaraza chetu, karibuni sana nilikuwa nigeria nasoma
masters ya Journalism Curriculum Development and Designing nimemaliza
nimerudi T...
13 years ago



