Huyu ni Oscar Kambona Mtangazaji wa aliyerusha matangazo kwa mara ya kwanza idhaa ya kiswahili BBC mnamo juni27 1951 hakika alifanya kazi ya habari kwa nguvu zote, alifariki huko nchini Uingereza akiwa na umri wa miaka 68. Haki ya habari daima idumu
JAMANI NIMERUDI TENA NILIKUWA MASOMONI
-
IMERUDI tena kwenye kibaraza chetu, karibuni sana nilikuwa nigeria nasoma
masters ya Journalism Curriculum Development and Designing nimemaliza
nimerudi T...
13 years ago
No comments:
Post a Comment