Mwalimu alikuwa anaipenda hata Familia kama alivyokuwa anawapenda Watanzania angalia katika picha hii hapa akiwa katikati na kushoto ni mama yake kulia mke wake Marry Nyerere. Picha hii lilipigwa Novemba10, 1985 baada ya Mwalimu kuamua kung`atuka madarakani.
JAMANI NIMERUDI TENA NILIKUWA MASOMONI
-
IMERUDI tena kwenye kibaraza chetu, karibuni sana nilikuwa nigeria nasoma
masters ya Journalism Curriculum Development and Designing nimemaliza
nimerudi T...
13 years ago